sw_tn/luk/18/09.md

364 B

Taarifa ya jumla:

Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine kwa watu wengine waliojiona kuwa wenye haki.

Ndipo yeye

"Ndipo Yesu"

Baadhi

"Baadhi ya watu"

Ambao walijiona wenyewe kuwa wenye haki

"waliokuwa na haki wenyewe" au "waliodhani kuwa wana haki"

kuwadharau

"Kutothamini" au "kudhani kuwa ni bora zaidi ya"

Hekaluni

"kwenye eneo la hekalu"