forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
842 B
Markdown
28 lines
842 B
Markdown
# Nawaambia
|
|
|
|
Kama Yesu anaendelea kuhutubia wanafunzi wake, anasisitiza umuhimu wa nini alichokua akiwaambia.
|
|
|
|
# katika usiku huo
|
|
|
|
Hii inahusu nini kitatokea kama yeye, Mwana wa Adamu, atakuja wakati wa usiku.
|
|
|
|
# kutakuwa na watu wawili katika kitanda kimoja
|
|
|
|
mkazo si juu ya watu hawa wawili, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa.
|
|
|
|
# kitanda
|
|
|
|
"kochi"
|
|
|
|
# Mmoja atachukuliwa, na mwingine ataachwa
|
|
|
|
"Mtu mmoja atachukuliwa na mtu mwingine ataachwa." Hii inaweza semwa kama "Mungu atachukua mtu mmoja na kumuacha mwingine" au "Malaika atachukua mmoja na kumuacha mwingine"
|
|
|
|
# Kutakuwa na wanawake wawili wakisaga nafaka pamoja
|
|
|
|
mkazo si juu ya hawa wanawake wawili au shughuli zao, lakini juu ya ukweli kwamba baadhi ya watu watachukuliwa na wengine wataachwa.
|
|
|
|
# kusaga pamoja
|
|
|
|
"wakisaga nafaka pamoja"
|