forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
638 B
Markdown
28 lines
638 B
Markdown
# Baada ya namna hiyo itakuwa
|
|
|
|
"Itakuwa kama hiyo." "Kwa njia hiyo hiyo watu hawtakuwa tayari"
|
|
|
|
# siku ile Mwana wa Adamu atakapofunuliwa
|
|
|
|
Hii inaweza semwa kama "wakati Mwana wa Adamu ataonekana" au "wakati Mwana wa Adamu anakuja"
|
|
|
|
# usimlete aliye kwenye dari ya nyumba ashuke chini
|
|
|
|
"yeyote alie juu ya nyumba asishuke" au "mtu akiwa darini kwake, ni lazima asiende chini"
|
|
|
|
# juu ya dari
|
|
|
|
dari zao zilikuwa bapa na watu kuweza kutembea au kukaa juu zao.
|
|
|
|
# vitu vyake
|
|
|
|
"mali zake" au "mambo yake"
|
|
|
|
# kurudi
|
|
|
|
Walikua wasirudi nyumbani kuchukua kitu chochote
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anazungumza juu yake mwenyewe. "Mimi, Mwana wa Adamu"
|