forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
870 B
Markdown
36 lines
870 B
Markdown
# Kuunganisha kauli:
|
|
|
|
Yesu alimaliza kufundisha. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi hii.
|
|
|
|
# Yeye hashukuru
|
|
|
|
"Yeye hakutaka kuwashukuru" au "Wewe hutashukuru"
|
|
|
|
# mambo yaliyo amuriwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa "Mambo uliyo muagiza afanye"
|
|
|
|
# gani?
|
|
|
|
"haki?" au "ni hii si kweli?"
|
|
|
|
# wewe pia
|
|
|
|
Yesu alikuwa akizungumza na wanafunzi wake, hivyo lugha ambazo zina wingi wa "wewe" itakuwa matumizi yake.
|
|
|
|
# yale uliyo amuriwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kama "kwamba Mungu alikuamuru"
|
|
|
|
# usema
|
|
|
|
"ukusema kwa Mungu"
|
|
|
|
# Sisi ni watumishi tusiostahili
|
|
|
|
Hii ni kueleza kuwa wao hawakufanya kitu cha kustaili kusifiwa. "Sisi watumishi wa kawaida" au "Sisi watumishi hatustahili sifa yako"
|
|
|
|
# Hamshukuru mtumishi ... alivyoamuru, je anafanya?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali hili ili kuonyesha jinsi watu wanavyo wafanyia watumishi. Hii inaweza kuwa kauli. "Yeye hakutaka kumshukuru mtumishi ... aliamuru"
|