forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
929 B
Markdown
36 lines
929 B
Markdown
# Sasa
|
|
|
|
neno hili lina weka alama ya kuhama kutoka katika taarifa ya awali.
|
|
|
|
# ambao walikuwa wanapenda sana fedha
|
|
|
|
"aliyependa kuwa na fedha" au "ambaye alikua na tamaa ya fedha"
|
|
|
|
# wao wakamdharau
|
|
|
|
"Mafarisayo wakamdharau Yesu"
|
|
|
|
# Naye akawaambia
|
|
|
|
"Na Yesu aliwaambia Mafarisayo"
|
|
|
|
# Nyie mnajihalalisha wenyewe mbele ya watu
|
|
|
|
"wewe unajaribu kujifanya kuonekana vizuri kwa watu"
|
|
|
|
# Mungu anaijua mioyo yenu
|
|
|
|
Hapa "mioyo" inahusu tamaa za watu."Mungu anaelewa tamaa yako kweli" au "Mungu anajua nia yako"
|
|
|
|
# Iyo iliyotukuka miongoni mwa watu
|
|
|
|
hii inaweza semwa kama "Yale mambo ambayo watu wanadhani ni muhimu sana"
|
|
|
|
# ni machukizo mbele za Mungu
|
|
|
|
"Mungu anachukia" au "ni mambo ambayo Mungu anayachukia"
|
|
|
|
# Taarifa kuu:
|
|
|
|
Hii ni mapumziko katika mafundisho ya Yesu, kama mstari wa 14 unatuambia taarifa za msingi kuhusu jinsi Mafarisayo wakamdharau Yesu. Katika mstari wa 15, Yesu anaendelea kufundisha na anawajibu Mafarisayo.
|