forked from WA-Catalog/sw_tn
475 B
475 B
Sasa
Neno hili limetumika hapa kuadhimisha mapumziko katika habari kuu. Hapa Yesu anaanza kwa kuwaambia sehemu mpya ya hadithi kuhusu mwana mkubwa.
mtumishi
neno lililotafsiriwa hapa kama "mtumishi" ni kawaida kutafsiriwa kama "kijana." inaweza kuonyesha kwamba mtumishi alikua mdogo sana.
mambo haya yanaweka yakawa nini
"nini kinatokea"
nje katika shamba
Inasemekana akilua shabani kwasababu alikua anafanya kazi uko.
mwana kondoo alie nona
Tazama 15:22