forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
897 B
Markdown
32 lines
897 B
Markdown
# Kuunganisha maelezo
|
|
|
|
Yesu anamalizia kufundisha umati wa watu.
|
|
|
|
# Chumvi ni nzuri
|
|
|
|
"Chumvi ni muhimu." Yesu anafundisha somo juu ya wale ambao wanataka kuwa wanafunzi wake.
|
|
|
|
# vipi inaweza kufanyika kuwa chumvi tena?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kufundisha umati wa watu. AT "hawezi kuwa chumvi tena" au " hakuna anaeweza kuifanya kuwa chumvi tena"
|
|
|
|
# mbolea
|
|
|
|
Watu kutumia mbolea ku rutubisha bustani na mashamba. Chumvi bila ladha ni haina maana ni haina hata thamani ya kuchanganywa na mbolea. AT "lundo la mbolea' au 'mbolea."
|
|
|
|
# Ni kutupwa mbali
|
|
|
|
AT "Mtu kuitupilia mbali"
|
|
|
|
# Yeye aliye na masikio ya kusikia, na asikie
|
|
|
|
AT "Kama una masikio ya kusikia, kusikiliza vizuri" au "Kama unasikia ninachosema, kuwa makini"
|
|
|
|
# Yeye aliye na masikio ya kusikia
|
|
|
|
"Yeyote anaweza kusikia" au "Mtu anikisikia mimi"
|
|
|
|
# basi naye asikie
|
|
|
|
"basi naye asikilize vizuri" au "basi naye awe makini kwa kile nisemacho"
|