forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
525 B
Markdown
20 lines
525 B
Markdown
# Kauli inayounganisha
|
|
|
|
Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya umati.
|
|
|
|
# Kwahiyo
|
|
|
|
"kwasababu hiyo" au " kwasababu ya mafundisho ya hadihi hii"
|
|
|
|
# Nawaambia
|
|
|
|
"Nataka niwaambie kitu muhimu"au "Inabidi msikilize kwa umakini juu ya hili"
|
|
|
|
# juu ya maisha yenu-ya kuwa mtakula nini
|
|
|
|
"kuhusu maisha yenu na nini mtakula" au " kuhusu kuwa na chakula cha kutosha ili muweze kuishi"
|
|
|
|
# juu ya miili yenu -ya kuwa mtavaa nini
|
|
|
|
"kuhusu miili yenu na nini mtavaa" au " kuhusu kuwa na nguo za kutosha za kuvisha miili yenu"
|