forked from WA-Catalog/sw_tn
525 B
525 B
Kauli inayounganisha
Yesu aliendelea kuwafundisha wanafunzi wake mbele ya umati.
Kwahiyo
"kwasababu hiyo" au " kwasababu ya mafundisho ya hadihi hii"
Nawaambia
"Nataka niwaambie kitu muhimu"au "Inabidi msikilize kwa umakini juu ya hili"
juu ya maisha yenu-ya kuwa mtakula nini
"kuhusu maisha yenu na nini mtakula" au " kuhusu kuwa na chakula cha kutosha ili muweze kuishi"
juu ya miili yenu -ya kuwa mtavaa nini
"kuhusu miili yenu na nini mtavaa" au " kuhusu kuwa na nguo za kutosha za kuvisha miili yenu"