forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
556 B
Markdown
24 lines
556 B
Markdown
# Je shomoro watano hawauzwi kwa senti mbili?
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi
|
|
|
|
# Shomoro
|
|
|
|
Ni ndege wadogo sana wenye kula mbegu
|
|
|
|
# hakuna mmoja wao atakayesahaulika mbele za Mungu
|
|
|
|
"Mungu hajawahi kusahau mmoja wao". "Mungu kwa uhakika anakumbuka kila shomoro"
|
|
|
|
# hata nywele za vichwa vyenu vimehesabiwa
|
|
|
|
"Mungu anajua hata idadi ya nywele zilizoko kichwani mwako"
|
|
|
|
# Msiogope
|
|
|
|
"Msiwaogope watu" au "Msiwaogope watu watakao waujeruhi ninyi"
|
|
|
|
# Ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
|
|
|
|
"Mungu anawathamini ninyi kuliko mashomoro wengi"
|