forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
590 B
Markdown
20 lines
590 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Yesu alianza kuongea na mafarisayo
|
|
|
|
# nje ya vikombe na bakuli
|
|
|
|
Kuoasha nje ya vyombo ilikuwa ni sehemu ya mazoea ya ibada kwa Wafarisayo
|
|
|
|
# lakini ndani yenu mmejaa tamaa na uovu.
|
|
|
|
Hii inafananishwa na njinzi wanavyosahau ndani ya vyombo na wanavyosahau maisha yao ya ndani.
|
|
|
|
# Je yeye aliyeumba nje hakuumba na ndani pia?
|
|
|
|
Yesu alitumia swali kuwakemea Mafarisayo kwa kutojua ya kuwa kile kilichoko ndani ya miyoyo yao inajalisha kwa Mungu.
|
|
|
|
# Wapeni maskini yaliyo ndani
|
|
|
|
"Wapeni Maskini kile kilichoko ndani ya vikombe na bakuli" au " Muwe wakarimu kwa watu maskini"
|