forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.2 KiB
Markdown
28 lines
1.2 KiB
Markdown
# kama shetani takuwa amegawanyika
|
|
|
|
"Shetani" hapa inawakilisha wale mapepo waliojiunga na Shetani kumuasi Mungu. "Kama shetani na washirika wa ufalme wake wanapigan a wao kwa wao"
|
|
|
|
# ufalme wake utasimamaje?
|
|
|
|
Yesu alitumia maswali kufundisha watu. "Ufalme wa Shetani hautadumu" au "Ufalme wa shetani utaanguka na kusambaratika"
|
|
|
|
# Kwasababu mwasema natoa mapepo kwa Belzebuli
|
|
|
|
Kwa sababu mwasema ni kwa nguvu ya Belzebuli nawafanya mapepo kuwaacha watu . sehemu iliyofuata ya majibu yake inaweza kutamkwa kirahisi: "hii inamaana Shetani amegawachika juu yake"
|
|
|
|
# Je wenzenu wanatoa mapepo kwa njia gani?
|
|
|
|
"ni kwa nguvu ya nani wenzenu wanawaamurisha mapepo kuwaacha watu. " Yesu alitumia swali kufundisha watu.Swali la Yesu inaweza kurahisishwa, "basi ni lazima tukubaliane kuwa wenzenu pia hutumia nguvu ya Beelzebuli kuondoa mapepo". "Lakini tunajua kuwa hiyo si kweli".
|
|
|
|
# wao watawahukumu ninyi
|
|
|
|
wenzenu wanao watoa mapepo kwa nguvu ya Mungu watawahukumu ninyi kwa kusema kuwa mimi natoa mapepo kwa nguvu ya Beelzebuli.
|
|
|
|
# kwa kidole cha Mungu
|
|
|
|
"Kidole cha Mungu" inamaanisha ni Nguvu ya Mungu
|
|
|
|
# Basi ufalme wa Mungu umewajia
|
|
|
|
"Hii inaonyesha kuwa ufalme wa Mungu umekuja kwenu"
|