forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
966 B
Markdown
36 lines
966 B
Markdown
# Maneno yenye kuunganisha
|
|
|
|
Yesu aliendelea kufundisha wanafunzi wake juu ya maombi
|
|
|
|
# Ni nani kati yenu mwenye
|
|
|
|
Yesu alitumia maswali kuwafundisha wanafunzi wake . "Fikiria mmoja wenu anayo" au "Fikiria unayo"
|
|
|
|
# Niazime mikate mitatu
|
|
|
|
Nikopeshe mkate mitatu au nipe mikate mitatu na nitakupilia baadaye . Mwenyeji hana chakula chochote kilicho tayari cha kumpa mgeni wake.
|
|
|
|
# amenijia sasa hivi kutoka njiani
|
|
|
|
alikuwa akisafiri na sasa hivi akaja nyumbani mwangu
|
|
|
|
# sina cha kumuandalia yeye
|
|
|
|
"chakula chochote kilicho tayari cha kumpa"
|
|
|
|
# Siwezi kuamuka
|
|
|
|
"Siyo rahisi kwangu mimi kuamka"
|
|
|
|
# Nawaambia
|
|
|
|
Yesu alikuwa akiongea na wanafunzi, Neno ninyi ni wingi
|
|
|
|
# akupe mkate kwasababu wewe ni rafiki yake
|
|
|
|
Yesu aliongea na wanafunzi wake kana kwamba wao ndiyo waliokwenda kuomba mkate.
|
|
|
|
# kuendelea bila aibu
|
|
|
|
Hii inamaanisha ile hali ambayo yule mtu aliendelea kuomba mkate bila kujali kama ni wakati mwafaka wa rafiki wake kuamka katikati ya usiku na kumpa mkate
|