forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
953 B
Markdown
32 lines
953 B
Markdown
# Lakini msamaria mmoja
|
|
|
|
Hii inatambulisha mtu mpya kwenye simulizi bila ya kutaja jina lake. Tunajua tu ya kuwa alikuwa msamaria . Wayahudi walikuwa wakiwadharau wasamaria na walikuwa wakimudhania ya kuwa hatamsaidia yule myahudi aliekuwa ameumizwa.
|
|
|
|
# Alipomuona
|
|
|
|
"Baada ya msamaria kumuona yule mtu aliekuwa ameumizwa"
|
|
|
|
# Alisukumwa kwa huruma
|
|
|
|
"Akamuonea huruma"
|
|
|
|
# Akamfunga vidonda vyake, akavimwagia mafuta na divai.
|
|
|
|
Angekuwa ameweka yale mafuta na divai kwenye vidonda vyake, AT:" akaweka divai na mafuta kwenye vidonda na akavisokota kwenye nguo"
|
|
|
|
# Akavimwagia mafuta na divai
|
|
|
|
Divai ilitumika kusafisha vidonda na mafuta yalitumika kuzuia kudhuriwa kwa vidonda
|
|
|
|
# Mnyaama wake
|
|
|
|
"Mnyama wake mwenyewe". Huyu alikuwa mnyamaambaye alitumika kubeba mizigo mizito. inasemekana alikuwa punda.
|
|
|
|
# Dinari mbili
|
|
|
|
"Mshahara wa siku mbili". Denari ni umoja wa denari.
|
|
|
|
# Mwenyeji wake.
|
|
|
|
" Mwangalizi wake" au "mtu ambaye alimtunza na kuwa akribu naye"
|