forked from WA-Catalog/sw_tn
489 B
489 B
Akawageukia wanafunzi, akasema kwa siri,
Yawezekana hii ilikuwa katika wakati fulani. AT: "badaye, ambapo wanafunzi wakewalikuwa peke yao pamoja naye, akasema"
Wamebarikiwa wavionavyo vitu mvionavyo
Pengine hii ilikuwa na maana kwa watu wote waliokuwa wamekuja kumsikiliza Yesu AT: "Ni jinsi gani ilivyo vyema kwa wale wanaoona vitu mnavyoviona".
Vitu hivi mvionavyo
"Vitu ambavyo mmeniona mimi nikivifanya"
Vitu hivi mvisikiavyo
"Vitu ambavyo mmenisikia mimi nikiviongea".