forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
489 B
Markdown
16 lines
489 B
Markdown
|
# Akawageukia wanafunzi, akasema kwa siri,
|
||
|
|
||
|
Yawezekana hii ilikuwa katika wakati fulani. AT: "badaye, ambapo wanafunzi wakewalikuwa peke yao pamoja naye, akasema"
|
||
|
|
||
|
# Wamebarikiwa wavionavyo vitu mvionavyo
|
||
|
|
||
|
Pengine hii ilikuwa na maana kwa watu wote waliokuwa wamekuja kumsikiliza Yesu AT: "Ni jinsi gani ilivyo vyema kwa wale wanaoona vitu mnavyoviona".
|
||
|
|
||
|
# Vitu hivi mvionavyo
|
||
|
|
||
|
"Vitu ambavyo mmeniona mimi nikivifanya"
|
||
|
|
||
|
# Vitu hivi mvisikiavyo
|
||
|
|
||
|
"Vitu ambavyo mmenisikia mimi nikiviongea".
|