forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
629 B
Markdown
24 lines
629 B
Markdown
# Kila kitu kimekabithiwa kwangu kutoka kwa Baba yangu
|
|
|
|
AT: " Baba yangu amekabidhi kila kitu kwangu".
|
|
|
|
# Baba... Mwana.
|
|
|
|
Hivi ni vichwa vikuu vya muhimu vinavyoelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.
|
|
|
|
# Mwana
|
|
|
|
Yesu alikuwa akijizungumzia yeye katika nafasi ya tatu.
|
|
|
|
# afahamuye Mwana ni nani
|
|
|
|
Neno ambalo limetafasiriwa kama "Afahamuye" linamaanisha kujua kutokana na kumwelewa mtu. Mungu Baba anamjua Yesu kwa namna hiyo.
|
|
|
|
# Ila Baba
|
|
|
|
Hii inamaanisha ni Baba peke yake anajua Mwana ni nani.
|
|
|
|
# na yeyote ambaye mwana anatamani kujifunua kwake
|
|
|
|
AT: "na watu watajua Baba ni nani endapo Mwana atataka kuwadhihirishia Baba kwao".
|