sw_tn/luk/10/01.md

24 lines
662 B
Markdown

# Taarifa kwa ujumla
Yesu anawatuma zaidi ya watu sabini mbele yake. Hao sabini wanarudi na furaha , na Yesu anawajibu kwa kumuabudu baba wa mbinguni.
# sasa
Neno hili limetumika kuashiria tukio jipya katika hadithi.
# sabini
"70." matoleo mengine yanasema "sabini na mbili" au "72." utatakiwa kuweka maezezo yanayosema ivyo.
# Aliwatuma huko, wawili wawili
"Aliwatuma huko katika makundi ya wawili wawili" au "Aliwatuma huko wawili wawili katika kila kundi"
# Akawaambia
Hii iikuwa kabla hawajaondoka. AT: "Hiki ndo alichowaambia" au "kabla hajaondok aliwaambia."
# Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache
"kulikuwa kuna mazao mengi, lakini