forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
662 B
Markdown
24 lines
662 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Yesu anawatuma zaidi ya watu sabini mbele yake. Hao sabini wanarudi na furaha , na Yesu anawajibu kwa kumuabudu baba wa mbinguni.
|
|
|
|
# sasa
|
|
|
|
Neno hili limetumika kuashiria tukio jipya katika hadithi.
|
|
|
|
# sabini
|
|
|
|
"70." matoleo mengine yanasema "sabini na mbili" au "72." utatakiwa kuweka maezezo yanayosema ivyo.
|
|
|
|
# Aliwatuma huko, wawili wawili
|
|
|
|
"Aliwatuma huko katika makundi ya wawili wawili" au "Aliwatuma huko wawili wawili katika kila kundi"
|
|
|
|
# Akawaambia
|
|
|
|
Hii iikuwa kabla hawajaondoka. AT: "Hiki ndo alichowaambia" au "kabla hajaondok aliwaambia."
|
|
|
|
# Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache
|
|
|
|
"kulikuwa kuna mazao mengi, lakini
|