forked from WA-Catalog/sw_tn
662 B
662 B
Taarifa kwa ujumla
Yesu anawatuma zaidi ya watu sabini mbele yake. Hao sabini wanarudi na furaha , na Yesu anawajibu kwa kumuabudu baba wa mbinguni.
sasa
Neno hili limetumika kuashiria tukio jipya katika hadithi.
sabini
"70." matoleo mengine yanasema "sabini na mbili" au "72." utatakiwa kuweka maezezo yanayosema ivyo.
Aliwatuma huko, wawili wawili
"Aliwatuma huko katika makundi ya wawili wawili" au "Aliwatuma huko wawili wawili katika kila kundi"
Akawaambia
Hii iikuwa kabla hawajaondoka. AT: "Hiki ndo alichowaambia" au "kabla hajaondok aliwaambia."
Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache
"kulikuwa kuna mazao mengi, lakini