forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
449 B
Markdown
16 lines
449 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuongea na wanafunzi wake akiwa pembezoni mwa barabara.
|
|
|
|
# Mnifuate mimi.
|
|
|
|
Hii ina maanisha kuwa mfuasi wa Yesu na kwenda pamoja naye.
|
|
|
|
# Mniruhusu kwanza niondoke
|
|
|
|
"Kabla sijafanya hivyo, mniache niende."
|
|
|
|
# Waache wafu wawazike wafu wa kwao
|
|
|
|
Kwa sababu watu waliokwisha kufa hawawezi kumzika mtu yeyote, Maana inayokusudiwa hapa ni ya kwamba watu walio wafu katika roho wawazike watu walio wafu katika mwili.
|