forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
717 B
Markdown
24 lines
717 B
Markdown
# mtu mmoja
|
|
|
|
Huyu hakuwa moja ya wanafunzi
|
|
|
|
# Mbweha wanamashimo
|
|
|
|
Yesu anajibu kwa mithali ili kufundisha watu kuhusu kuwa mwanafunzi wa Yesu. Yesu anajibu kwamba kama mtu atahitaji kumfuata, kwamba mtu huyo anaweza asiwe na nyumba. AT: "Mbeha wana mashimo...wala sehemu ya kulaza kichwa. Hivyo usitegemee kama utakuwa na nyumba"
|
|
|
|
# Mbweha
|
|
|
|
Hawa ni wanyama wa nchi sawa na mbwa. Wanalala katika mapango au shimo katika arthi.
|
|
|
|
# ndege wa angani
|
|
|
|
"ndege wanaoruka angani"
|
|
|
|
# mwana wa Adamu
|
|
|
|
"Yesu anaongea kuhusu yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu"
|
|
|
|
# hana pakulaza kichwa chake
|
|
|
|
"sina sehemu ya kulaza kichwa changu" or "wala sehemu ya kulala." Yesu anakuza ili kujenga hoja kwambaalikuwa hakalibishwi popote kuishi.
|