sw_tn/luk/09/57.md

24 lines
717 B
Markdown

# mtu mmoja
Huyu hakuwa moja ya wanafunzi
# Mbweha wanamashimo
Yesu anajibu kwa mithali ili kufundisha watu kuhusu kuwa mwanafunzi wa Yesu. Yesu anajibu kwamba kama mtu atahitaji kumfuata, kwamba mtu huyo anaweza asiwe na nyumba. AT: "Mbeha wana mashimo...wala sehemu ya kulaza kichwa. Hivyo usitegemee kama utakuwa na nyumba"
# Mbweha
Hawa ni wanyama wa nchi sawa na mbwa. Wanalala katika mapango au shimo katika arthi.
# ndege wa angani
"ndege wanaoruka angani"
# mwana wa Adamu
"Yesu anaongea kuhusu yeye mwenyewe katika nafsi ya tatu"
# hana pakulaza kichwa chake
"sina sehemu ya kulaza kichwa changu" or "wala sehemu ya kulala." Yesu anakuza ili kujenga hoja kwambaalikuwa hakalibishwi popote kuishi.