forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
461 B
Markdown
28 lines
461 B
Markdown
# Wakafanya hivyo
|
|
|
|
wanfunzi wakawakalisha makutano kwenye makundi ya watu hamsini hamsini.
|
|
|
|
# akachukua
|
|
|
|
"yesu akachukua"
|
|
|
|
# mkate
|
|
|
|
kiwango maarumu cha mkate wa kuokwa. AT: "mkate mzima"
|
|
|
|
# na akiangalia
|
|
|
|
"wakati anaangalia" au " baada ya kuangalia"
|
|
|
|
# juu mbinguni
|
|
|
|
Hii inawakilisha kuangalia juu, kuelekea mawinguni. Wayahudi waliamini kuwa mbingu iko juu mawinguni.
|
|
|
|
# watenge mbele ya
|
|
|
|
"kuwagawia" au " kuwapa"
|
|
|
|
# wakashiba
|
|
|
|
AT: "walikula kama walivyotaka"
|