forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
435 B
Markdown
16 lines
435 B
Markdown
# mmoja wao aliyeona kilichotokea
|
|
|
|
Hawa walikuwa watu waliokuwa na mtu yule wakati Yesu alifanya mapepo yaondoke.
|
|
|
|
# mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa
|
|
|
|
Yesu amemwokoa mtu aliyekuwa na mapepo yakimwongoza" au "Yesu alimponya mtu alikuwa na mapepo yakimwongoza"
|
|
|
|
# mkoa wa Gelasini
|
|
|
|
"Eneo hilo la Gerasini" au "eneo ambapo watu wa wagerasini waliishi"
|
|
|
|
# walikuwa na hofu kuu
|
|
|
|
"wakajawa na hofu." au "hofu kubwa iliwajaa."
|