forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
719 B
Markdown
32 lines
719 B
Markdown
# Alipomwona Yesu
|
|
|
|
"yule mwenye pepo alipomwona Yesu"
|
|
|
|
# akalia kwa sauti
|
|
|
|
"alipiga kelele" au "alipiga yowe"
|
|
|
|
# akaanguka chini mbele yake
|
|
|
|
"alilala chini ya ardhi mbele ya Yesu." Hakuanguka kwa ajali kama ajali.
|
|
|
|
# kwa sauti kubwa akisema
|
|
|
|
"Alisema kwa sauti ya juu" au "Alipiga kelele"
|
|
|
|
# Nimefanya nini kwako
|
|
|
|
"Kwa nini unanitesa mimi"
|
|
|
|
# mwana wa Mungu aliye juu
|
|
|
|
Hiki ni cheo kikubwa sana kwa ajili ya Yesu.
|
|
|
|
# mara nyingi amepagawa
|
|
|
|
"mara nyingi walikuwa wanamshika mtu huyu" au "mara nyingi huenda ndani mwake." Hii inatuambia jinsi Pepo alivyofanya mara ya nyingi kabla ya Yesu kukutana naye.
|
|
|
|
# hata kama alikuwa amefungwa.... na kuwekwa chini ya ulinzi
|
|
|
|
"Hata kama watu walimfunga... na kumbana na kumlinda"
|