forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
448 B
Markdown
29 lines
448 B
Markdown
# Taarifa ya yumla:
|
|
|
|
Yesu aliwaambia mfano wa mpandaji kwa makutano. Alieleza maana ya
|
|
ke kwa wanafunzi wake.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Hili neno linaonyesha mwanzo wa kitendo katika habari.
|
|
|
|
# mpandaji alienda kupanda mbegu
|
|
|
|
"mkiulima alienda kupanda baadhi ya mbegu shambani"
|
|
|
|
# zikakanyagwa chini ya miguu
|
|
|
|
"Zilikanyagwa pia mara zilipoota"
|
|
|
|
# wakazila
|
|
|
|
"Walizila zote"
|
|
|
|
# Zilipooza
|
|
|
|
"Miche ikakauka na kupooza"
|
|
|
|
# hazikuwa na unyevunyevu
|
|
|
|
"ardhi ilikuwa kavu"
|