forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
549 B
Markdown
16 lines
549 B
Markdown
# akawaza mwenyewe akisema
|
|
|
|
"alisema yeye mwenyewe"
|
|
|
|
# Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua ... mdhambi
|
|
|
|
Farisayo aliwaza kuwa Yesu hakuwa nabii kwa sababu amemruhusu mwanamke mwenye dhambi kumgusa. NI: "Inaonekana Yesu siyo nabii, sababu nabii angejua kwamba mwanamke anayemgusa ni mwenye dhambi."
|
|
|
|
# ni mdhambi
|
|
|
|
Simoni kimakosa alihisi kwamba nabii asingeruhusu kuguswa. Ukweli huu ungeongezwa. NI: "ni mdhambi na asingeruhusiwa kugusa"
|
|
|
|
# Simoni
|
|
|
|
Hili lilikuwa ni jina la Farisayo aliyemwalika Yesu katika nyumba yake. Huyu hakuwa Simoni Petro.
|