forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
628 B
Markdown
32 lines
628 B
Markdown
# Kwa saa hiyo
|
|
|
|
"kwa wakati huo"
|
|
|
|
# kutoka kwa roho wachafu
|
|
|
|
Itakuwa msaada kusema tena uponyaji. NI: "aliwaponya na roho chafu"au "na aliwaweka huru watu kutoka katika roho chafu"
|
|
|
|
# aliwaambia
|
|
|
|
"aliwaambia wajumbe wa Yohana" au "alisema kwa wajumbe aliowatuma Yohana"
|
|
|
|
# Toa taarifa kwa Yohana
|
|
|
|
"Mwambie Yohana"
|
|
|
|
# watu wahitaji
|
|
|
|
"watu masikini"
|
|
|
|
# Mtu asiyeacha kuniamini kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "Mungu atambariki mtu ambaye haachi kuamini kwake sababu ya matendo yake"
|
|
|
|
# Mtu
|
|
|
|
"Watu" au "yeyote" Huyu si mtu maalumu.
|
|
|
|
# usisitishe
|
|
|
|
maana mbili hasi "Hendelea"
|