forked from WA-Catalog/sw_tn
361 B
361 B
Taarifa kwa ujumla
Yesu anaingia Kapernaumu pale alipomponya mtumishi wa akida.
watu wakiwa wanasikiliza
Nahau "wakati watu wanasikiliza" anasisitiza anataka watu wasikie anchosema. NI: "ni kwa watu ambao walikuwa wanamsikiliza" au "kwa watu waliohudhuria" au "kwaajili ya watu kusikia"
Aliingia Kapernaumu
Hii inaanzisha tukio jipya katika simulizi