sw_tn/luk/07/01.md

12 lines
361 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Taarifa kwa ujumla
Yesu anaingia Kapernaumu pale alipomponya mtumishi wa akida.
# watu wakiwa wanasikiliza
Nahau "wakati watu wanasikiliza" anasisitiza anataka watu wasikie anchosema. NI: "ni kwa watu ambao walikuwa wanamsikiliza" au "kwa watu waliohudhuria" au "kwaajili ya watu kusikia"
# Aliingia Kapernaumu
Hii inaanzisha tukio jipya katika simulizi