forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
361 B
Markdown
12 lines
361 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yesu anaingia Kapernaumu pale alipomponya mtumishi wa akida.
|
||
|
|
||
|
# watu wakiwa wanasikiliza
|
||
|
|
||
|
Nahau "wakati watu wanasikiliza" anasisitiza anataka watu wasikie anchosema. NI: "ni kwa watu ambao walikuwa wanamsikiliza" au "kwa watu waliohudhuria" au "kwaajili ya watu kusikia"
|
||
|
|
||
|
# Aliingia Kapernaumu
|
||
|
|
||
|
Hii inaanzisha tukio jipya katika simulizi
|