forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
692 B
Markdown
28 lines
692 B
Markdown
# Taarifa kwa Ujumla:
|
|
|
|
watu wanaweza wakasema kama mti ni mzuri au mbaya, na ni aina gani ya mti, kwa matunda yake unayozaa. Yesu anatumia hii kama sitiari isiyo elezewa - tunajua mtu wa aina gani kwa ya kuona mtendo yao.
|
|
|
|
# kwa kuwa ipo
|
|
|
|
"sababu ipo" Hii inaashiria kwamba kinachofuata ni sababu ni sababu ya kwanini hatupaswi kuwahukumu ndugu zetu
|
|
|
|
# mti mzuri
|
|
|
|
mti wenye afya
|
|
|
|
# haribika
|
|
|
|
"liooza" au "baya" au "siofaa"
|
|
|
|
# Kila mti hujulikana
|
|
|
|
watu hutambua aina ya mti kwa matunda yake unayozaa. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "watu wanajua aina ya mti" au "watu wanatambua mti"
|
|
|
|
# Mchongoma
|
|
|
|
Mmea au kichaka chenye miiba
|
|
|
|
# waridi mwitu
|
|
|
|
mzabibu au kichaka kilicho na miiba
|