sw_tn/luk/06/43.md

28 lines
692 B
Markdown

# Taarifa kwa Ujumla:
watu wanaweza wakasema kama mti ni mzuri au mbaya, na ni aina gani ya mti, kwa matunda yake unayozaa. Yesu anatumia hii kama sitiari isiyo elezewa - tunajua mtu wa aina gani kwa ya kuona mtendo yao.
# kwa kuwa ipo
"sababu ipo" Hii inaashiria kwamba kinachofuata ni sababu ni sababu ya kwanini hatupaswi kuwahukumu ndugu zetu
# mti mzuri
mti wenye afya
# haribika
"liooza" au "baya" au "siofaa"
# Kila mti hujulikana
watu hutambua aina ya mti kwa matunda yake unayozaa. Hii inaweza kusemwa kwa kauli tendaji. NI: "watu wanajua aina ya mti" au "watu wanatambua mti"
# Mchongoma
Mmea au kichaka chenye miiba
# waridi mwitu
mzabibu au kichaka kilicho na miiba