forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.2 KiB
Markdown
32 lines
1.2 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Yesu anahusisha baadhi ya mifano kujenga hoja yake.
|
|
|
|
# mtu kipofu anaweza kumuongoza kipofu mwingine?
|
|
|
|
Yesu alitumia swali ili kupata watu wa kufikiri kitu ambacho tayari wanajua. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Mtu kipofu hawezi kumuongoza mtu mwingine kipofu.
|
|
|
|
# mtu kipofu
|
|
|
|
mtu ambaye ni "kipofu" ni sitiari kwa mtu ambaye hajafundishwa kama mwanafunzi.
|
|
|
|
# Ikiwa alifanya
|
|
|
|
Baadhi ya lugha zinaweza kupendelea, "kama mmoja alifanya" Hii ni hali upuuzi kwamba haiwezi kabisa kutokea.
|
|
|
|
# wote wataangukia shimoni, je hawawezi?
|
|
|
|
Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: wawili wote wataangukia shimoni"
|
|
|
|
# Mwanafunzi siyo mkubwa kuliko mwalimu mwalimu wake
|
|
|
|
"Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake." Maana zinazowezekana ni 1) "Mwanafunzi hana maarifa kuliko mwalimu wake" au 2) Mwanafunzi hana mamlaka kuliko mwalimu"
|
|
|
|
# Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake
|
|
|
|
Hii inaweza kumaanisha kuwa 1)"mwanafunzi hawezi kuwa na ufahamu mkubwa kuliko mwalimu "au 2) " Mwanafunzi hana mamlaka zaidi ya mwalimu ."Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu."
|
|
|
|
# kila mmoja akishamaliza kufundishwa
|
|
|
|
"Kila mwanafunzi aliyefundishwa vizuri" au "kila mwanafunzi ambaye amejazwa mafundisho na mwalimu."
|