forked from WA-Catalog/sw_tn
538 B
538 B
Msihukumu
"Msihukumu watu" au "usimkosoe mtu"
na wewe
"na kama matokeo yako"
hamtahukumiwa
Yesu hakusema ambao wasingehukumu. Inawezekana maana ni 1) "Mungu hatakuhukumu wewe" au 2) "hakuna wa kukuhukumu wewe."
Msishutumu
"Msishutumu watu"
Hamtashutumiwa
Yesu hakusema ambaye angehukumu. inawezekana inamaanisha 1) "Mungu hatakushutumu wewe" au 2) "hakuna hata mmoja atakaye washutumu."
Nanyi mtasamehewa
Yesu hakusema ambaye angesamehe. Inawezekana inamaanisha 1) "Mungu atakusamehe" au 2 ) "watu watakusamehe."