forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
538 B
Markdown
24 lines
538 B
Markdown
|
# Msihukumu
|
||
|
|
||
|
"Msihukumu watu" au "usimkosoe mtu"
|
||
|
|
||
|
# na wewe
|
||
|
|
||
|
"na kama matokeo yako"
|
||
|
|
||
|
# hamtahukumiwa
|
||
|
|
||
|
Yesu hakusema ambao wasingehukumu. Inawezekana maana ni 1) "Mungu hatakuhukumu wewe" au 2) "hakuna wa kukuhukumu wewe."
|
||
|
|
||
|
# Msishutumu
|
||
|
|
||
|
"Msishutumu watu"
|
||
|
|
||
|
# Hamtashutumiwa
|
||
|
|
||
|
Yesu hakusema ambaye angehukumu. inawezekana inamaanisha 1) "Mungu hatakushutumu wewe" au 2) "hakuna hata mmoja atakaye washutumu."
|
||
|
|
||
|
# Nanyi mtasamehewa
|
||
|
|
||
|
Yesu hakusema ambaye angesamehe. Inawezekana inamaanisha 1) "Mungu atakusamehe" au 2 ) "watu watakusamehe."
|