forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
500 B
Markdown
12 lines
500 B
Markdown
# Kama unavyotaka watu wakufanyie, ufanye hivyo kwao
|
|
|
|
Kwa baadhi ya lugha zingine inaweza kuwa uasilia zaidi kubadili amri: NI: "Uwafanyie watu sawasawa na unavyotaka watu wakufanyie."
|
|
|
|
# Ni ujira gani kwenu?
|
|
|
|
"Ni dhawabu gani mtapokea?" au "Mtapokea sifa gani kwa kufanya hivyo?" Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hamtapokea thawabu yeyote kwa hilo" au "Mungu hatawazawadia kwa hilo"
|
|
|
|
# kurudisha kiasi kile kile
|
|
|
|
Sheria ya Musa iliamuru Wayahudi wasipokee riba kwa pesa waliyokopeshana.
|