forked from WA-Catalog/sw_tn
500 B
500 B
Kama unavyotaka watu wakufanyie, ufanye hivyo kwao
Kwa baadhi ya lugha zingine inaweza kuwa uasilia zaidi kubadili amri: NI: "Uwafanyie watu sawasawa na unavyotaka watu wakufanyie."
Ni ujira gani kwenu?
"Ni dhawabu gani mtapokea?" au "Mtapokea sifa gani kwa kufanya hivyo?" Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Hamtapokea thawabu yeyote kwa hilo" au "Mungu hatawazawadia kwa hilo"
kurudisha kiasi kile kile
Sheria ya Musa iliamuru Wayahudi wasipokee riba kwa pesa waliyokopeshana.