forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
802 B
Markdown
32 lines
802 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuzungumza kwa wanafunzi wake na vile vile na mkutano wanao msikiliza yeye.
|
|
|
|
# kwenu mnaosikiliza
|
|
|
|
Yesu sasa anaaza kuzungumza kwa hadhara yote, zaidi kuliko kwa wanafunzi wake tu.
|
|
|
|
# penda ... fanya mema ... Bariki ... omba
|
|
|
|
Katika kila amri hizi hufanyika kwa mwendelezo, siyo tu kwa mara moja.
|
|
|
|
# penda adui zako
|
|
|
|
Hii hainamaana unawapenda tu adui na siyo marafiki. Hii inaweza kusemwa. NI: "Wapende adui, siyo tu rafiki!" (UDB)
|
|
|
|
# penda ... fanya mema kwa
|
|
|
|
Virai viwili hivi vinamaana sawa, na kwa pamoja vinasisitiza hoja.
|
|
|
|
# Bariki ambao
|
|
|
|
Mungu ndiye abarikie. Hii inaweza ikadhihirisha. NI: "Omba Mungu kubariki hao" (UDB)
|
|
|
|
# ambao wanakulaani
|
|
|
|
"ambao wanatabia ya kukulaani"
|
|
|
|
# wale ambao wanakutendea mabaya
|
|
|
|
"wale ambao wanatabia ya kukutenda mabaya"
|