forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
638 B
Markdown
20 lines
638 B
Markdown
# Ninyi mmebarikiwa
|
|
|
|
Kirai hiki kimerudia mara tatu. Kila mara ,kinaashiria kwamba Mungu huwapa neema watu fulani au kwamba hali zao ni chanya au nzuri.
|
|
|
|
# Mmebarikiwa ninyi mlio maskini
|
|
|
|
"Wale ambao ni maskini hupokea neema ya Mungu" au " ambao ni maskini hunufaika"
|
|
|
|
# Kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu
|
|
|
|
Lugha ambazo hazina neno ufalme laweza sema, "Mungu ni mfalme wako" au "kwa sababu Mungu ni mtwala wako."
|
|
|
|
# Ufalme wako ni wa Mungu
|
|
|
|
"ufalme wa Mungu ni wako." Hii ingeweza kumaanisha 1) "umetokana na ufalme wa Mungu" au 2) Utakuwa na mamlaka katika ufalme wa Mungu."
|
|
|
|
# Mtacheka
|
|
|
|
"Mtacheka na kufurahia" au "Mtakuwa na furaha"
|