forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
604 B
Markdown
24 lines
604 B
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Ingawa watu walitaka Yesu abaki Kapernaumu, anakwenda kuhubiri kwenye masinagogi mengine Uyahudi.
|
|
|
|
# ilipofika mapambazuko
|
|
|
|
"wakati wa jua kuchomoza"
|
|
|
|
# mahali palipo jitenga
|
|
|
|
"mahali pa pekee" au "mahali pasipokuwa na watu"
|
|
|
|
# kwa miji mingi mingine
|
|
|
|
"kwa watu katika miji mingine mingi"
|
|
|
|
# hii ni sababu nilikuwa nimetumwa hapa
|
|
|
|
Hii inaweza ikawekwa kwenye kauli tendaji, NI: "hii ni sababu Mungu alinituma hapa mimi"
|
|
|
|
# Uyahudi
|
|
|
|
Tangu Yesu awe Galilaya, neno "Uyahudi" hapa huenda linarejea kwenye ukanda wote ambako Wayahudi waliishi wakati huo, NI: "ambapo waliishi Wayahudi"
|