forked from WA-Catalog/sw_tn
546 B
546 B
alilaza mkono wake juu
"aliweka mkono wake juu" au "aligusa"
Pepo pia yakatoka nje
Hii ilimaanisha kwamba Yesu aliyafanya mapepo yaondoke kwa watu yaliokuwa yamewatawala. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "Yesu pia aliyalazimisha mapepo yatoke"
analia kwa sauti na akisema
inamaanisha kitu kilekile, na huenda inarejea kulia kwa hofu au hasira. Baadhi ya tafsiri inatumia neno moja. NI: "paza sauti"
Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo mhimu kwa Yesu.
alikemea pepo
"aliwaambia pepo kwa ukali"
usingeliwaruhusu
"Wao hapana kuwaruhusu"