forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
546 B
Markdown
24 lines
546 B
Markdown
|
# alilaza mkono wake juu
|
||
|
|
||
|
"aliweka mkono wake juu" au "aligusa"
|
||
|
|
||
|
# Pepo pia yakatoka nje
|
||
|
|
||
|
Hii ilimaanisha kwamba Yesu aliyafanya mapepo yaondoke kwa watu yaliokuwa yamewatawala. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "Yesu pia aliyalazimisha mapepo yatoke"
|
||
|
|
||
|
# analia kwa sauti na akisema
|
||
|
|
||
|
inamaanisha kitu kilekile, na huenda inarejea kulia kwa hofu au hasira. Baadhi ya tafsiri inatumia neno moja. NI: "paza sauti"
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo mhimu kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# alikemea pepo
|
||
|
|
||
|
"aliwaambia pepo kwa ukali"
|
||
|
|
||
|
# usingeliwaruhusu
|
||
|
|
||
|
"Wao hapana kuwaruhusu"
|