forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
980 B
Markdown
40 lines
980 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Yesu bado yuko Kapernaumu, lakini sasa yuko katika nyumba ya Simoni, alipomponya mama mkwe wa Simoni na watu wengi.
|
|
|
|
# Ndipo Yesu akaondoka
|
|
|
|
Hii inaanzisha tukio jipya
|
|
|
|
# Mama mkwe wa Simoni
|
|
|
|
Mkwe - "mama yake mke wa Simoni"
|
|
|
|
# Alikuwa anaumwa
|
|
|
|
Hii ni nahau inayomaanisha "alikuwa anaugua"
|
|
|
|
# homa kali
|
|
|
|
"mwili wake ulikuwa na joto kali"
|
|
|
|
# kusihi badala yake
|
|
|
|
Maana yake walimwomba Yesu amponye homa yake. Hii inaweza kusemwa wazi. NI: "kumwomba Yesu amponye homa"
|
|
|
|
# Hivyo alisimama
|
|
|
|
Neno "Hivyo" linaweka wazi kwamba alifanya hivi kwa sababu watu walimsihi badala ya mama mkwe wa Simoni.
|
|
|
|
# alisimama kwake
|
|
|
|
"alikwenda kwake na aliegama kwake"
|
|
|
|
# liikemea homa
|
|
|
|
"alisema kwa kuikaripia homa" au "aliamuru homa kumwacha" UDB. Itakuwa ni msaada kusema wazi alichoiambia homa kufanya. NI: "aliiamuru ngozi kupoa" "aliuamuru ugonjwa kumwacha"
|
|
|
|
# alianza kuwahudumia
|
|
|
|
Hapa hii inamaana alianza kuandaa chakula kwaajili ya Yesu na watu wengine ndani ya nyumba.
|