forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
830 B
Markdown
24 lines
830 B
Markdown
# Yesu alikemea pepo, akisema
|
|
|
|
"Yesu alikemea pepo akisema," au "Yesu bila huruma alisema kwa pepo"
|
|
|
|
# toka nje yake
|
|
|
|
Yeye alimwamuru pepo kutokumtawala mtu. NI: "mwache peke yake" au "usiishi ndani ya mtu huyu tena"
|
|
|
|
# Haya ni maneno ya aina gani?
|
|
|
|
Watu wanadhihirisha jinsi walivyoshangazwa kwamba Yesu anamamlaka kuamuru pepo kumwacha mtu. Hii inaweza kuandikwa kama sentensi. NI: "Haya maneno yanashangaza!" au "maneno yake ya ajabu"
|
|
|
|
# Anaamuru roho wachafu kwa mamlaka na nguvu
|
|
|
|
"Yeye anamamlaka na nguvu kuamuru roho wachafu"
|
|
|
|
# Habari kumhusu zilianza kuenea ... kanda inayozunguka
|
|
|
|
Hii ni amri kuhusu kile kilichotokea baada ya simulizi ambacho kilisababishwa na matukio ndani ya hadithi yenyewe.
|
|
|
|
# habari kumhusu yeye zilianza kuenea
|
|
|
|
"taarifa kuhusu Yesu zilianza kuenea" au "watu walianza kueneza habari kuhusu Yesu"
|