forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
554 B
Markdown
24 lines
554 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Yesu anakwenda Kapernaumu, anafundisha watu katika Sinagogi huko, na anaamuru mapepo kuondoka kwa mtu.
|
|
|
|
# Ndipo yeye
|
|
|
|
"ndipo Yesu." Hii inaashiria tukio jipya.
|
|
|
|
# alishuka Kapernaumu
|
|
|
|
Kirai hiki "shuka chini" ilitumika hapa sababu Kapernaumu ni chini kuliko Nazarethi.
|
|
|
|
# Kapernaumu, ni mji katiaka Galilaya
|
|
|
|
"Kapernaumu, mji mwingine katika Galilaya"
|
|
|
|
# liostaajabisha
|
|
|
|
"lishangaa sana" au "liovutia sana" au "lioshangaza "
|
|
|
|
# alizungumza kwa mamlaka
|
|
|
|
"alizungumza kama mtu mwenye mamlaka" au "maneno yake yalikuwa na nguvu kubwa"
|