forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
694 B
Markdown
20 lines
694 B
Markdown
# mahali yeye alipokuziwa
|
|
|
|
mahali wazazi wake walipomlelea " au "pale alipoishi alipokuwa mdogo" "mahali alipokulia"
|
|
|
|
# kama ilivyokuwa desturi yake
|
|
|
|
"kama alivyofanya kila sabato." ilikuwa siyo mazoea ya kawaida kwenda kwenye sinagogikwenye siku ya sabato.
|
|
|
|
# Yeye alipewa Gombo la nabii Isaya
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mtu fulani alimpa gombo la nabii Isaya"
|
|
|
|
# Gombo la nabii Isaya
|
|
|
|
Hii inarejea kwenye kitabu cha Isaya imeandikwa kwenye gombo. Isaya aliandika maneno miaka mingi kabla, na mtu fulani mwingine aliyanukuru kwenye gombo.
|
|
|
|
# mahali ambapo palikuwa pameandikwa
|
|
|
|
"mahali katika gombo palipo na maneno haya." Sentensi hii inaendelea katika mstari unaofuata.
|