forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
679 B
Markdown
28 lines
679 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Ibilisi amkuta Yesu aweze kumjaribu akose baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini 40.
|
|
|
|
# Ndipo Yesu
|
|
|
|
Hii inarejea baada ya Yohana kumbatiza Yesu. NI: "Baada ya Yesu kuwa kabatizwa"
|
|
|
|
# akaongozwa na Roho
|
|
|
|
Hii inaweza katika mfumo wa kutenda. NI: "Roho alimwongoza"
|
|
|
|
# Kwa siku arobaini yeye alijaribiwa
|
|
|
|
Tafsiri nyingi zinasema kwamba majaribu yalikuwa kwa siku zote arobaini. UDB inasema "Wakati akiwa pale, Ibilisi aliendelea kumjaribu" kuweka hili wazi.
|
|
|
|
# siku arobaini
|
|
|
|
"siku 40"
|
|
|
|
# alikuwa akijaribiwa na shetani
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutenda. NI: "ibilisi alimjaribu asimtii Mungu"
|
|
|
|
# Hakuna alichokula
|
|
|
|
Neno "yeye" linarejea kwa Yesu.
|