forked from WA-Catalog/sw_tn
679 B
679 B
Sentensi Unganishi
Ibilisi amkuta Yesu aweze kumjaribu akose baada ya Yesu kufunga kwa siku arobaini 40.
Ndipo Yesu
Hii inarejea baada ya Yohana kumbatiza Yesu. NI: "Baada ya Yesu kuwa kabatizwa"
akaongozwa na Roho
Hii inaweza katika mfumo wa kutenda. NI: "Roho alimwongoza"
Kwa siku arobaini yeye alijaribiwa
Tafsiri nyingi zinasema kwamba majaribu yalikuwa kwa siku zote arobaini. UDB inasema "Wakati akiwa pale, Ibilisi aliendelea kumjaribu" kuweka hili wazi.
siku arobaini
"siku 40"
alikuwa akijaribiwa na shetani
Hii inaweza kusemwa katika mfumo wa kutenda. NI: "ibilisi alimjaribu asimtii Mungu"
Hakuna alichokula
Neno "yeye" linarejea kwa Yesu.