sw_tn/luk/03/17.md

20 lines
771 B
Markdown

# Pepeteo lake liko mkononi mwake
Kama mkulima alivyo tayari kutenganisha mbegu za ngano kutoka kwenye pumba hivyo, ndivyo ilivyo kwa Kristo alivyo tayari kumhukumu mwanadamu. AT: "Anashikilia pepeteo kwasababu yuko tayari."
# Pepeteo
Hiki ni chombo cha kurushia ngano juu hewani kutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba. Mbegu nzito huanguka kurudi chini na pumba azisizotakiwa hupulizwa mbali na upepo. Inafanana na kirushio.
# Uwanda wake wa kupepetea
Mahali pa kupepetea ni eneo ambapo ngano iliwekwa katika kuiandaa kuipepeta. "Kusafisha" AT: "Eneo lake" au "Eneo ambako hutenganisha mbegu kutoka kwenye pumba"
# Kukusanya ngano
Ngano ni nafaka inayokubalika kuitunza na kuhifadhi.
# Kuzichoma pumba
Pumba hazitumiwi kwa chochote, hivyo, watu huyachoma zote.