forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
425 B
Markdown
12 lines
425 B
Markdown
# Kubatiza
|
|
|
|
Hii ingeweza kuelezwa katika hali ya kutenda. AT: "Kwa Yohana kuwabatiza."
|
|
|
|
# Msikusanye fedha zaidi
|
|
|
|
"Msiombe fedha zaidi" au "Msitake fedha zaidi." Watoza ushuru walikuwa wakikusanya fedha zaidi kuliko walivyokuwa wanatakiwa. Wanapaswa kuacha kufanya hivyo.
|
|
|
|
# Zaidi kuliko mnavyotakiwa
|
|
|
|
Kifungu hiki kinaonyesha kwamba mamlaka ya watoza ushuru hutoka Rumi. AT: "zaidi kuliko kile Warumi wamewaamuru kuchukua."
|