forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
707 B
Markdown
28 lines
707 B
Markdown
# Ikawa
|
|
|
|
kauli hii ilitumika kuonesha kubadili kwa masimulizi kwenda kwenye ambacho wachungaji walifanya baada ya malaika kuondoka.
|
|
|
|
# kutoka kwao
|
|
|
|
"kutoka kwa wachungaji"
|
|
|
|
# Baina ya mtu na mtu
|
|
|
|
"kwa mmoja na mwingine"
|
|
|
|
# ngoja nasi ... kwetu
|
|
|
|
Tangu wachungaji walikuwa wanazungumza mmoja na mwingine, lugha ambayo inamtindo wa kuhusisha kwa "sisi" na "nasi" tumia mtindo wa kuhusisha hapa.
|
|
|
|
# ngoja nasi
|
|
|
|
"nasi tuta"
|
|
|
|
# jambo hili ambalo limetokea
|
|
|
|
Hii inarejea kuzaliwa kwa mtoto, na siyo kuonekana kwa malaika.
|
|
|
|
# kalala katika kihori cha kulishia
|
|
|
|
Hii ilikuwa aina fulani ya boksi au kitu ambacho watu waliweka nyasi kavu au chakula kwaajili ya wanyama kula. Angalia jinsi ilivyotafsiriwa katika 2:6.
|