forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.3 KiB
Markdown
44 lines
1.3 KiB
Markdown
# Taarifa kwa Jumla
|
|
|
|
Malaika Gabrieli anamtangazia Mariamu kwamba anakwenda kuwa mama wa mtu ambaye ni Mwana wa Mungu.
|
|
|
|
# kwenye mwezi wake wa sita
|
|
|
|
"katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeth." Hii ilikuwa lazima kulisema wazi kama ingelichanganya na mwezi wa sita katika mwaka.
|
|
|
|
# malaika Gabrieli alikuwa katumwa kutokea kwa Mungu
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa kwenye mtindo wa kutenda: NI: "Mungu alimwambia malaika Gabrieli nenda"
|
|
|
|
# Yeye ni wa nyumba ya Daudi
|
|
|
|
"Yeye niwa kabila lilelile kama Daudi" au "Yeye alikuwa ukoo Mfalme Daudi" (UDB)
|
|
|
|
# kaposwa
|
|
|
|
"rehani" au "kuahidiwa kuolewa." wazazi wa Mariamu waliweka msimamo kwaajili yake atamwoa Yusufu.
|
|
|
|
# jina la bikra alikuwa Mariamu
|
|
|
|
Hii inamtambulisha Mariamu kama mhusika mpya katika simulizi.
|
|
|
|
# Alikuja kwake
|
|
|
|
"Malaika alikuja kwa Mariamu"
|
|
|
|
# Salaamu
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni salamu ya kawaida. Inamaana: NI: "furahia" au "uwe na furaha."
|
|
|
|
# ninyi ambao mnaupedeleo mkubwa
|
|
|
|
"ninyi ambao mmepokea neema kubwa!" au "ninyi mmepokea wema maalumu!"
|
|
|
|
# Bwana yuko pamoja na wewe
|
|
|
|
"pamoja nawe" ni nahau ambayo inadokeza kutiwa moyo na kukubalika. NI: "Bwana kafurahishwa na wewe."
|
|
|
|
# alikuwa na wasiwasi sana ... salamu hii ingekuwa ya aina gani.
|
|
|
|
Mariamu alifahamu maana ya maneno hayo, lakini hakuelewa kwanini malaika alimwambia salaamu hii ya kushangaza.
|